Hizb ut Tahrir / Amerika: Maoni juu ya Maandamano ya Vyuo Vikuu!
- Imepeperushwa katika Amerika
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Amerika: Maoni juu ya Maandamano ya Vyuo Vikuu!
Hizb ut Tahrir / Amerika: Maoni juu ya Maandamano ya Vyuo Vikuu!
Hizb ut Tahrir/Amerika inaandaa Kongamano la kila mwaka la Khilafah kwa mwaka huu wa 2024 chini ya kichwa:
“Gaza: Migogoro na Suluhisho - Dori ya Waislamu wa Amerika”
Ujumbe wa matarajio na ukakamavu katika kujibu tuhma za uongo zilizofanywa dhidi ya Hizb ut Tahrir.
Dkt. Abur Rafay ajadili jinsi ya kuingiliana na Jamii ya Kimagharibi.
Dkt. Abdur Rafay anauliza maswali muhimu yanayozunguka pambizoni mwa kampeni ya Joe Biden iliyotelekezwa.
Hatupaswi kutumbukia ndani ya shimo moja mara mbili. Waislamu walio katika nchi za Magharibi ni lazima wafahamu siasa zile zile zilizofeli za karoti na kijiti ambazo inatukengeusha kutokana Suluhisho la Lazima kutoka kwa Uislamu.
Hizb ut Tahrir / Amerika iliwasilisha amali hii ya mtandaoni. Amali hii inachunguza kwa kina mazingira tata ya kijiografia ya hali ya Gaza na katika kanda yote. Wageni wetu ni wataalamu wa masuala ya Mashariki ya Kati na ya Kiislamu.
Ukumbusho kwamba suluhisho la Gaza ni suluhisho la kijeshi linalohitaji kwamba majeshi yachukue hatua ya kuangusha tawala, kutabikisha Uislamu, na kuhamasisha majeshi kuelekea Palestina.
Hizb ut Tahrir / Amerika iliandaa amali pana katika miji mbali mbali kutoka Amerika Mashariki hadi Magharibi yake zikiyataka majeshi ya Waislamu kutaharaki kwa ajili ya kuwanusuru Waislamu wanyonge katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wauaji wanyakuzi.
Mbele ya mauaji ya kikatili yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu waliotengwa katika Ukanda wa Gaza,