Kampeni ya Ramadhan ndani ya Tanzania
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jana Ijumaa 05 Ramadhan 1445 H / 15 Machi 2024 M wanaharakati wa Hizb ut Tahrir Tanzania katika baadhi ya maeneo walifanya Kampeni Maalum ya Ramadhan chini ya kauli mbiu ya ‘Ramadhan ni Kielelezo cha Umoja wa Ummah’