Hizb ut Tahrir Inatoa Salamu za Rambirambi kwa Kuondokewa na Mkurugenzi wa Radio Biladi
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir Inatoa Salamu za Rambirambi kwa Kuondokewa na Mkurugenzi wa Radio Biladi.
Hizb ut Tahrir Inatoa Salamu za Rambirambi kwa Kuondokewa na Mkurugenzi wa Radio Biladi.
Mkutano baina ya Kiongozi wa Kabila la Al-Habab na Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir Wilayah ya Sudan.
Enyi Wanajeshi wa Kinana: Wajibu wenu ni kuikomboa Palestina yote, kuwanusuru watu wake wanaodhulumiwa, na kuwaondolea dhulma, na kung'oa kila kinachowazuia nyinyi kutekeleza wajibu huu, zikiwemo tawala na watawala waovu.
Kwa nyoyo zenye subira na kuridhia, Hizb ut Tahrir katika Wilayah Iraq inamuomboleza mmoja wa Mashababu wake, ndugu mheshimiwa: Nafea Al-Mahlawi (Abu Anas).
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan, ukiongozwa na Ustadh Nasser Ridha, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Sudan, na wanachama Ustadh Abdullah Hussein, Mratibu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano, na Ustadh Muhammad Mukhtar, Mwanachama wa Hizb ut Tahrir, alikutana na idadi ya viongozi wa Harakati ya Islamic Action katika afisi ya Hizb mjini Port Sudan, Jumapili, 26 Shawwal 1445 H sawia na 05/05/2024.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilimpokea afisini mwake adhuhuri mnamo siku ya Jumapili, 26 Shawwal 1445 H sawia na 05/05/2024 M, Al-Nazir Faisal Musa Shugar, Nazir wa makabila yote ya Darfur, na pamoja naye alikuwa Meya Babiker Harun Adam.
Ikiwa umesoma vyema, unajitegemea, unazungumza Kideni barabara na unatii sheria, lakini wakati huo huo ni Muislamu ambaye kiasili unabeba maadili ya Kiislamu pamoja nawe, basi unaweza kuwa hatari kwa jamii ya Denmark.
Sio chuku kusema kwamba tukio la Crocus lilionyesha kuwa tishio la Urusi limefikia kilele chake katika miaka ya hivi karibuni. Kwa hivyo, wakati taharuki hii imeongezeka, uhusiano wa nchi za Magharibi na serikali za Asia ya Kati umeongezeka sana.
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/ Wilayah Sudan Wakutana na Ustadh Al-Taher Hassan Al-Mohami.
Mkutano huo ulijadili hali ya kisiasa nchini, vita vinavyoendelea, na hali ya mvutano kati ya vipote vya watu wa Sudan, kutoka kwa mapigano ya kikabila, migogoro kwa msingi wake, na maafa ambayo imeleta juu ya nchi na watu, na kwamba njia ya kutoka humo inawezekana tu kwa msingi wa hukmu za Uislamu mtukufu na sheria yake.