Hakuna Utiifu kwa Kiumbe katika Kumuasi Muumba!
- Imepeperushwa katika Afghanistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Idara ya Ujasusi ya Mkoa wa Kandahar inawazuia wabebaji Da’wah kadhaa wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan kwa miezi 12 iliyopita. Wiki hii, imefikia kipindi chake cha mwaka mmoja. Mbali na kuteswa na maafisa wa ujasusi, wamekuwa korokoroni bila hukumu kutoka kwa mahakama wakati huu.