“Miongoni mwa Waumini wapo watu walio timiza waliyo ahidiana na Mwenyezi Mungu. Baadhi yao wamekwisha kufa, na baadhi wanangojea, wala hawakubadilisha (ahadi) hata kidogo.”
- Imepeperushwa katika Iraq
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa nyoyo zenye subira na kuridhia, Hizb ut Tahrir katika Wilayah Iraq inamuomboleza mmoja wa Mashababu wake, ndugu mheshimiwa: Nafea Al-Mahlawi (Abu Anas).