Jumanne, 22 Dhu al-Qi'dah 1446 - 20 Mei 2025
Katika maadhimisho ya miaka 60 ya kuanzisha mahusiano ya kidiplomasia na umbile la Kiyahudi, Jamhuri ya Shirikisho ya Ujerumani inapoteza fursa yake ya kihistoria ya kujikomboa kutoka katika hatia iliyotungwa dhidi ya Mayahudi. Badala yake, shauku ya kile kinachoitwa "maslahi makuu ya kitaifa" - kisingizio kinachotumiwa kuhalalisha uungaji mkono usio na masharti kwa umbile la Kiyahudi - yamefikia kilele kipya kwa tangazo kwamba kuunga mkono umbile hili ni "msingi wa kuwepo kwa Ujerumani"!
Pongezi kutoka Hizb ut Tahrir/ Wilayah ya Sudan Kwa Mnasaba…
Sisi, katika Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan, tunafuraha kuwapongeza watu wetu nchini Sudan…
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Jeshi la Anga la…
Jeshi la India lilithibitisha kwa mara ya kwanza mnamo 31 Mei 2025 kwamba lilikuwa limepoteza…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Yahuisha Ibada ya Takbira…
Baada ya swala ya Alasiri mnamo siku ya Jumatatu, tarehe 6 Dhul-Hijjah 1446 H, sawia…
Al-Waqiyah TV: Hatimaye, Dhalimu Trump Anahitimisha Ziara yake katika Kanda…
Hatimaye, Dhalimu Trump Anahitimisha Ziara yake katika Kanda hii!
Pongezi kwa Idd Al-Adha Iliyobarikiwa 1446 H
Hizb ut Tahrir inatoa pongezi na baraka nyingi zaidi kwa Umma wetu mpendwa wa Kiislamu,…